Saturday, February 25, 2012

JAMANI HAWA WATOTO WA JAKAYA....

 Eti hataki kupakatwa anataka kukaa hivyo muda wote na wakati muda wake bado kabisa
 yani hapo anajiona mkubwaaa kweli kazi ninayo
 huwezi amini anachezea hadi wadoli .......
 my son uko juu......lov u mwaaaaaaaa
amekaa peke yake...raha sana...ol in ol THANKS GOD

No comments:

Post a Comment