Eti hataki kupakatwa anataka kukaa hivyo muda wote na wakati muda wake bado kabisa
yani hapo anajiona mkubwaaa kweli kazi ninayo
huwezi amini anachezea hadi wadoli .......
my son uko juu......lov u mwaaaaaaaa
amekaa peke yake...raha sana...ol in ol THANKS GOD
No comments:
Post a Comment