Dereva alikua baba totooooo.......kaweka pozi ya kibabe du
Tulipata full blessing............huyo ni shangazi Merry
Hapo ndio full blessing from mzee Leornald a.k.a babu tuntu
Hakuna kubebwa........dogo alitulia safari nzima
Baba toto biz na anko kuchukua matukio
Life is too short as many says,but it has a lot to go about,try to choose whats best for u,no matter what it takes i will make my fibonack happy,giving him the best life ever,............JUS TO MAKE HIM HAPPY
Wednesday, June 27, 2012
Sunday, April 29, 2012
Wednesday, March 14, 2012
HE IS SO SWEET N LOVELY......
He is my fresh n blood....
yo so sweet my little boy...
fibs akiwa na babaake mkubwa a.k.a babu tuntu....
babutuntu alikua biz just to make sure dogo anafurahi....
mtu na mdogoake..Sean junior akiwa na fibs...
jamani nimekua kaka hadi nampakata mdogo wangu...good job junior
kua mwanangu nikutume.....
mama sean,a.k.a bibi tuntu akiwa na fibs...lov u mom
yo so sweet my little boy...
fibs akiwa na babaake mkubwa a.k.a babu tuntu....
babutuntu alikua biz just to make sure dogo anafurahi....
mtu na mdogoake..Sean junior akiwa na fibs...
jamani nimekua kaka hadi nampakata mdogo wangu...good job junior
kua mwanangu nikutume.....
mama sean,a.k.a bibi tuntu akiwa na fibs...lov u mom
INAITWA MBESIII....
kwa wale watu wa mkoa wa arusha na kilimanjaro wanaijua vizuri,ni kajisherehe fulani kanafanyika mtu unapojifungua,kweli tembea uone,Fibonacci kaleta mambo mengi niliyoyajua na nisiyoyajua.
hapo ilikua ni moja ya maandalizi ya sherehe hiyo
huyu ni my aunt Rehema au Mrs mhagama ,naye alikuwepo kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa!
asanteni mabest jamani,mlinipa support kubwa sana
My aunt kushoto,huyo ndio alieniandalia hiyo kitu...thanks to u aunt emmy!!!
Watu wakala,wakaenjoy...chakula kilikua kitamu kiukweli
wakacheza HAKUNANAGA ,du hadi raha
ikafika muda wenyewe wa maana halisi ya mbesii...wengine hela,vitenge ,nguo za mtot ,ilimradi ikaitwa zawadi
Shost chukua bag la clinic hilo.....asante claudia
Me and my aunt
aunt emmy kushoto,kulia aunt rehema
mabest zangu hao,kutoka kushoto,Claudia,Alice,Gaudencia na Angel....
Mary na Jesca..eti waliitwa mawifi kwa siku hiyo...but wote wanamuita husband uncle
ilifika mahali nikawa nimechoka ...n i missed my son
mwisho kabisa akaletwa Fibonack,,,wanasema ni kipindi cha bembeleza mtoto.
kweli tembea uyaone.....yote hayo nimeyajulia arusha.
Asanteni wote mlioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha siku hiyo.GOD BLESS U ALL
hapo ilikua ni moja ya maandalizi ya sherehe hiyo
huyu ni my aunt Rehema au Mrs mhagama ,naye alikuwepo kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa!
oooh Mary naye hakukosa ,alikuwepo kuhakisha vicheko vinatawala,she is very charming
asanteni mabest jamani,mlinipa support kubwa sana
My aunt kushoto,huyo ndio alieniandalia hiyo kitu...thanks to u aunt emmy!!!
Watu wakala,wakaenjoy...chakula kilikua kitamu kiukweli
wakacheza HAKUNANAGA ,du hadi raha
ikafika muda wenyewe wa maana halisi ya mbesii...wengine hela,vitenge ,nguo za mtot ,ilimradi ikaitwa zawadi
Shost chukua bag la clinic hilo.....asante claudia
Me and my aunt
aunt emmy kushoto,kulia aunt rehema
mabest zangu hao,kutoka kushoto,Claudia,Alice,Gaudencia na Angel....
Mary na Jesca..eti waliitwa mawifi kwa siku hiyo...but wote wanamuita husband uncle
ilifika mahali nikawa nimechoka ...n i missed my son
mwisho kabisa akaletwa Fibonack,,,wanasema ni kipindi cha bembeleza mtoto.
kweli tembea uyaone.....yote hayo nimeyajulia arusha.
Asanteni wote mlioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha siku hiyo.GOD BLESS U ALL
Saturday, February 25, 2012
JAMANI HAWA WATOTO WA JAKAYA....
Eti hataki kupakatwa anataka kukaa hivyo muda wote na wakati muda wake bado kabisa
yani hapo anajiona mkubwaaa kweli kazi ninayo
huwezi amini anachezea hadi wadoli .......
my son uko juu......lov u mwaaaaaaaa
amekaa peke yake...raha sana...ol in ol THANKS GOD
yani hapo anajiona mkubwaaa kweli kazi ninayo
huwezi amini anachezea hadi wadoli .......
my son uko juu......lov u mwaaaaaaaa
amekaa peke yake...raha sana...ol in ol THANKS GOD
Thursday, February 23, 2012
THREE MONTHS OF AGE...
Utadhani kaambiwa mguu sawa....
anazidi kua mjanja,mapozi anayo si mchezo
hapa akiwa na neighbour enjoy.......
anazidi kua mjanja,mapozi anayo si mchezo
hapa akiwa na neighbour enjoy.......
Subscribe to:
Posts (Atom)