Eti hataki kupakatwa anataka kukaa hivyo muda wote na wakati muda wake bado kabisa
yani hapo anajiona mkubwaaa kweli kazi ninayo
huwezi amini anachezea hadi wadoli .......
my son uko juu......lov u mwaaaaaaaa
amekaa peke yake...raha sana...ol in ol THANKS GOD
Life is too short as many says,but it has a lot to go about,try to choose whats best for u,no matter what it takes i will make my fibonack happy,giving him the best life ever,............JUS TO MAKE HIM HAPPY
Saturday, February 25, 2012
Thursday, February 23, 2012
THREE MONTHS OF AGE...
Utadhani kaambiwa mguu sawa....
anazidi kua mjanja,mapozi anayo si mchezo
hapa akiwa na neighbour enjoy.......
anazidi kua mjanja,mapozi anayo si mchezo
hapa akiwa na neighbour enjoy.......
Wednesday, February 22, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)